Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli anatarajiwa kuchukua fomu ya kugombea kiti cha urais kwa muhula wa pili katika makao makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), jijini Dodoma
Uchaguzi mkuu nchini humo unatarajiwa kufanywa Oktoba 28, 2020 na tayari wagombea kadhaa wamejitokeza kuwania kiti hicho.
Habari Nyingine: Willis Raburu afichua alipata alama ya D+ katika mtihani wa KCSE
![](https://cdn.statically.io/img/cdn.tuko.co.ke/images/1120/0fgjhs11i0dlsecrqg.jpeg)
Kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu ameidhinishwa na chama cha CHADEMA kuwania kiti hicho.
Mwingine ni mwanasiasa Bernard Membe ambaye atapeperusha bendera ya chama cha ACT-Wazalendo katika uchaguzi huo wa Oktoba 2020.
Habari Nyingine: Watu 48 wa familia ya mwanasiasa wapatwa na coronavirus, mmoja wao alisafiri kutoka Nairobi
![](https://cdn.statically.io/img/cdn.tuko.co.ke/images/720/c1567da956102771.jpeg)
Rais Magufuli anatarajiwa pia kukutana na wanachama wa CCM katika makao maku ya chama hicho baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 0732482690.
Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjbH91fpBmrJygkZzCu7WMrZinspGjtqJ50ZqgrGWdlrS2stSloGaZpJa%2ForbIsJhmo6WYtba31Jpkn6edqnq6rYykrKCnnZeyonnTnqWaZaWnrqq%2FjaGrpqQ%3D