Mtangazaji maarufu wa redio apata kazi Afrika Kusini

Posted by Martina Birk on Saturday, September 21, 2024

-Mtangazaji maarufu wa kituo cha redio ya Baraka FM, Diana Wanyonyi amekihama kituo hicho baada ya kufanya kazi kwa miaka mitano

- Diana anatarajiwa kujiunga na kituo kingine cha redio Afrika Kusini

Mtangazaji wa kituo cha redio ya Baraka FM,Diana Wanyonyi amekihamia kituo hicho baada ya kufanya kazi kwa zaidi ya miaka mitano.

Habari Nyingine: Sababu kuu ya William Ruto "kukasirishwa" na mazungumzo kati ya Uhuru na Mzee Moi

Diana ambaye ameshinda tuzo kadhaa za utangazaji ,anatarajiwa kujiunga na kituo kingine cha redio nchini Afrika Kusini.

TUKO.co.ke imetambua kuwa Diana atajiunga na kituo cha redio cha South Africa Broadcast Corporation.

Habari Nyingine: Hili ni thibitisho tosha Raila atashindwa katika uchaguzi wa Agosti 8?

Watangazaji kadhaa wamefaulu katika taaluma zao huku wakijiunga na vituo mbali mbali vya utangazaji katika mataifa ya kigeni akiwemo Sophy Ikenye na Edith Kimani.

Tazama video ifuatayo

Subscribe to watch new videos

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaYB2fZRmpK2Znpyuu63JomSmmZGnwqfBjLCYZqqVmbawecCpmK2ZXaCuu7WMmp2roZuWeqzB0qKlomaYqbqt